Ah! Baada ya kuwatesa na kuwatatiza mabeki wa AFC Leopards, leo hii the dancing Rasta, King of...
SOCIAL
Mikuki miwili imetosha kumzamisha chui! Sherehe na pointi tatu zinabaki papa hapa Mbaraki kama zawadi ya Mashabiki...
Leo ni siku kuu ya Burrdaaan unalolipenda yaani sherehe ndio imerudi uwanjani. Jumuika na Mashabiki wenzako pale...
Itakua jioni ya kusahaulika FT: Bandari 0 V 2 Posta
Tumesema hatutambui Barua pepe Leo! Asalaaam! Leo ndio siku kuu, siku kuu ya Burrdaaan unalolipenda, yaani sherehe...
Tungependa kuwatakia Wakenya wote siku njema ya Mashujaa. Nyinyi ndio mnaofanya Nchi yetu iwe miongoni mwa Nchi...
Yuleeee, Mfalme wa Burrdaaan, the president of Bamburi Mtambo himuselfu, Mzee wa makanzu na manyobo, call him...
Kwa: Posta Rangers Football Club Sanduku la Posta 002-00100 Narok RE: Burudani Mpenzi Posta, Tunatumaini kwamba ujumbe...
Hivo basi usikose kujiunga nasi Saa Saba Mchana kwa Mechi yetu ya pili ugenini dhidi ya wenyeji Bidco...